Recent content by Finance Yard

  1. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Bei imeshuka mpaka milioni 220 Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Finance Yard

    TALA Tanzania ndio walioiponza Vodacom Tanzania

    Hapana sio kweli ,Tala wanatoa huduma Kama kawaida hapa Mimi nimepatiwa huduma Sasa hivi Wala hawapotezi hata dakika moja Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Finance Yard

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Natafuta furniture za office kwa bei nafuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Kutokana na ushauri wa wateja wetu,bei tunapunguza mpaka milioni 250,karibuni wote Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Kama unapajua fantasy hotel,thamani hii ni ya uwiano wa Sasa,ila maongezi yapo Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Hahaaaaa,haya kaka Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Kwa kuwa lipo pembezoni mwa barabara na linafaa kwa shughuli kubwa za kibishara tumeona tuliuze lote kwa bei hiyo,ila maongezi yapo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Finance Yard

    Eneo la heka 3.77 linauzwa Dodoma

    Ni eneo kubwa la heka 3.77 lililopo Msalato Dodoma mjini, barabara ya kwenda Arusha. Eneo hili lipo pembezoni mwa barabara karibu na kibao Cha Fantasy Hotel. Kama unahitaji tuwasiliane kwa namba 0764429619. Bei inaanzia million 300. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom