Hospitali ya Kaliua U
uongozi ni mbovu, viongozi hawasomi mapato na matumizi tangu mwezi wa 4. 2025 hadi leo, wala hakuna kikao cha hospitali kwa kipindi hicho
Watumishi hawana morality na kazi, ukionekana unahoji tu unaonekana ni Mtumishi mkorofi.
Stahiki za watumishi kama Motisha hazipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.