🤔🤔😂😂 MMmmhh Babuu apo Unataka kuamishia fiesta nyumban kwako .
Hio woofer ni moto 🔥 🔥 wa kufa mtu,
Kwanza hizo Watts Zake za moto (2000watts)
Alaf woofer lenyewe liko serious balaa na halina manjonjo ya kijinga.
Kiukweli Liko vizuli kinoma mkuu
Nilipita kwenye duka la kodtec dodoma nikauliza bei ,wakanambia kuwa ni 200k Ila muonekano wake hauko kama woofer ya kawaida .
Ndo maana ningependa kufaham box specifications na nguvu ya bass
yake Ili niwe na uakika .
Na je ina deep bass?
Mkuu niliiKuta Kwenye duka la kodtec dodoma nikauliza bei yake eti ni 200k
Asa najiuliza , hii woofer Ina specifications zipi coz imekaa kama vile sio woofer, na sijawai kusikia bass lake.
Kama Kuna mtu ana box specifications apost tuone
mkuu naomba kufahamu kuhusu Kodtec KT-2809 Subwoofer.
Maana siielewi-elewi hii mashine
Mfano RMS watts Zake ,
Bass frequency Zake,
Ukubwa wa bass speaker .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.