WAKATI filamu ya kampuni ya Jerusalem ikisubiriwa kwa hamu sana na mashabiki wa filamu kutoka katika kampni hiyo, inayomilikiwa na Jacob Steven ambayo tayari ilishatoka na filamu kali kama Chausiku, Wageni wangu, Zawadi na Mzee wa Swaga, kiongozi wa kampuni hiyo alijikuta akimwaga machozi baada...