Recent content by Fikra zangu

  1. Fikra zangu

    JamiiForums Tanzania Serikali imeongeza Deni la ndani kwa TZS 1.5T kati ya Mwezi Mei na Juni 2018: Ni ‘overdraft’ ya BoT kwa Serikali? BoT imechapisha Noti mpya?

    Ndugu zitto nimesoma uchambuzi wako hakika unafikirisha na hata tusiokuwa wataalamu wa mambo ya fedha na uchumi tunapata muda wa kujua mambo mapya na kuchukua muda kujisomea zaidi. Ila kwa kuwa swali lako limejiegemeza kwa BOT lakin umeliweka public na mimi kama Mtanzania nimeona nitoe maoni...
  2. Fikra zangu

    JamiiForums Tanzania Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?

    Brother Pasco, Nashukuru kwa uzi wako mzuri wenye kufikirisha. Mimi pia kama ulivyodeclare naomba niseme nina ufahamu kwa kiasi kidogo sana na uchumi pia ni mwanaCCM. Ukweli ni kwamba inapokuja ishu ya maendeleo ya watu,haiwekwi wazi ni maendeleo yapi hayo? Ni watu kuwa na pesa, majumba na...
  3. Fikra zangu

    JamiiForums Tanzania Watanzania na laana ya kusahau na kwenda na matukio

    Kumekuwa na tabia ya watanzania kuwa na hali ya kuongelea na kujadili mambo makubwa yanayoikumba nchi yetu kitu ambacho ni cha kupigiwa mfano kwa kuwa hapo zamani hatukuwa na utamaduni wa kujadili kwa uwazi,sasa jambo linaloshangaza ni uwezo mkubwa wa kusahau kwa haraka sana na kutochukua hatua...
Back
Top Bottom