Recent content by fide72

  1. F

    US Election Coverage 2008

    kama kuna mtu ameangalia mdahalo wa wagombea wa urais wa Marekani ;kweli imejionyesha wazi kuwa, kuna tofauti sana ya uelevu baina ya wagombea hao wawili Barack Obama amedhihirisha kuwa ana kichwa kizuri ,na ameonyesha welevu wake wa maswala ya kidunia pamoja na uchumi. Kituko cha mwaka...
  2. F

    US Election Coverage 2008

    Kuna swala ambalo watu tunaofuatilia mambo ya kisiasa na tunaishi hapa Marekani tunapenda Obama ashinde ila, si mtu ambaye atasaidia watu weusi kwa namna yoyote ile .Ananufaika kama mweusi kisiasa, lakini anajiweka mbali katika kuzungumzia maswala makuu ambayao yanawahusu watu weusi mahususi...
Back
Top Bottom