Habari wanajukwaa, naomba kuuliza kuhusu case hii inayomhusu rafiki angu. Mwaka jana yaani 2015/2016 aliomba kusomea TECHNICIAN CERTIFICATE ya kozi flani ya afya miaka miwili katika chuo flani. Bahati nzuri alikuwa selected na akaenda kusoma.
Bahati mbaya amekutana na kikwazo cha ada ikabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.