naomba kamanda mbowe na jopo lako endeleeni na msimamo wenu wa kukata posho kwani watanzania tupo nyuma yenu na tunasubiri hatima ya jambo hilo. Haiewezekani wachache wakafaidi our national cake najua wao watashinda bungeni kwa wingi wao na makofi wanayopiga hata wakiwa usingizini hivyo naomba...
dah! kwa kweli inaniuma kuona baadhi ya viongozi wachache katika nchi iliyo masikin kama Tanzania wakisimama na kutaka kulipana posho zisizo za msingi ili hali wananchi hawana hata uhakika wa kupata chakula nadhani zama za mapinduz zimewadia watanzania tufikilie kuhusu hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.