Ndio maana nimeuliza kutaka kujua coz nimeusoma huu ugonjwa na nikaangalia dalili zake ni kuathiri joints na sehemu kama moyo n.k kwangu ndio naona hizi dalili miguu kuuma joint zangu mpaka kwenye mabega na mikono mpaka miguu pia huuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana nimeuliza kutaka kujua coz nimeusoma huu ugonjwa na nikaangalia dalili zake ni kuathiri joints na sehemu kama moyo n.k kwangu ndio naona hizi dalili miguu kuuma joint zangu mpaka kwenye mabega na mikono mpaka miguu pia huuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya kwanza nilihisi ni moyo nimeenda muhimbili nimechek moyo hauna tatizo pia wakanipima damu kuangalia tatizo but hakuna ila miguu inawaka moto sana sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasumbuliwa na tatizo la kuumwa ns joints za parts kwenye miguu hasa vidole vya miguu joints za mapaja hips now maumivu yanaanza kuelekea kama kwenye uti wa mgongo msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.