Recent content by FelixDan

  1. F

    JamiiForums Tanzania KERO Router za Airtel ni matatizo makubwa, huduma ya intaneti inakatika bila taarifa wala hakuna fidia baada ya kurudi

    Habari, Naomba tusaidiwe kufikisha ujumbe huu kuhusu huduma ya mtandao wa Airtel. Kwa sasa tuna siku ya tatu hatupati huduma ya intaneti kabisa, lakini kila tunapowasiliana na huduma kwa wateja tunaambiwa kuna tatizo la kiufundi. Swali linalosumbua ni kwanini tatizo hilo halitangazwi kwa umma...
Back
Top Bottom