ayo ni mawazo yako na ndomana unakesha na mabinti gest kila kukicha.
huwezi ishi bila kula so hapo inaashiria kuwa ccm ikiwepo madarakani watu hawafi na njaaaaaaaaaaaaaa
huyo aliowataftia shida ni watu wa ikulu na stanbic bank ambayo orodha yaike imefichwa banki hadi keshokutwa.
ile ela ya mkombozi ni safi na ndomana orodha ipo
hata ufanyeje hulichukui ng'oooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
hili jimbo labda prof. aseme basiii vinginevyo tutampa prpf. wetu msomi duniani
huyo aliowataftia shida ni watu wa ikulu na stanbic bank ambayo orodha yaike imefichwa banki hadi keshokutwa.
ile ela ya mkombozi ni safi na ndomana orodha ipo
iyo kweli ila siunajua anaguswa sana na wanyonge na wananchi wasio na ajira akina mama na wanawake tz?
Ndo mana alianzisha chama cha wanawake tanzania
ni mpenda maendeleo na hapendi dhuluma manyanyaso na umasikini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.