Serikali tatu zipo hivi sasa. 1. Serikali ya Zanzibar inayoongozwa na Mh Shein. 2. Serikali ya Tanzania Bara(Tanganyika) inayoongozwa na Mh Pinda WM. 3. Serikali ya Muungano inayoongozwa na Raisi JMK. There is nothing new about this arrangement, ni mtazamo tu wa hali halisi.
Kwa wakatu ule wa 1964 na mazingira ya kisiasa ya wakati huo wa enzi za COLD WAR Raisi JKN aliamua kijasiri kuunganisha hizo nchi mbili na kutupa uhuru na muda wa miaka 52 wa kutafakari, kutunga sheria, kuandika Rasimu na kuweka utaratibu wa kuijadili na kupata maelewano. Raisi JKN hakuwa na...
Serikali tatu zipo hivi sasa. 1.Serikali ya Zanziba. 2. Serikali ya Tanzania Bara (Tanganyika) inayoongozwa na Mh Pinda WM 3.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Mh Raisi JMK. Kwahiyo haya mabishano yanaweza tuu kunyoosha na kuweka mambo vizuri kisheria. Serikali 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.