Mabadiliko Yote muhimu lazima yaanzie katika fikra na mtazamo.
Watanzania wengi tumekuwa na changamoto ya kuwa na fikra na mtazamo wa utegemezi kutoka mahali fulani.
Watoto wanakuzwa wakifundishwa kutegemea serikali kuwapatia kazi na maisha Bora.
Viongozi wanategemea nchi kuendelea kwa misaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.