Recent content by Fayruz

  1. F

    Natafuta wakala wa Safaricom

    Nenda Lumumba Kariakoo karibu na office za Tahmeed kuna wakala wa safaricom
  2. F

    Car4Sale Toyota I.S.T inauzwa (DRR) milion 11

    I.S.T inauzwa Iko na good condition, AC Haina tatizo lolote Ipo Magomeni Contact: 0757788686
  3. F

    Je, nawezaje kujikwamua kwa Vifaa hivi na kiasi cha pesa?

    Nunua blender heavy duty inauzwa 65000 kwa Agiza nasi waangalie instagram halaf tengeneza juice za matunda, na hilo kabati kama huna mtaji wa kuuza chips unaweza kuchoma au kukaanga ndizi mzuzu na mishikaki ile ya miatano kama wanavyouza vijana wa kariakoo wanatumia mkokoten unaotembea usianze...
Back
Top Bottom