Xax HV enyew uxhatimia mwezi na coni dalili yoyote ya mimba nikipima ndohvyo but ilibidi niingie period tareh 14 nmeanza kuckia maumivu ya kiuno kwa mbali tareh 15 had xax HV bado nayackia tu. Inabidi niende hospitali
Wala cogop mimba na wala co Mume wa mtu ila nmeuliza tuu maana naona vipimo vinaonesha negative na yey nmemwambia anasema haiwezekan iingie sababu nlikuwa makini kumwaga nje itaingiaje xaxa .! Na nlikuwa nxhamwambia kuwa nipo cku ya hatar akaxema ataweka umakin wa hali ya juu ila ndohvyo tena
Habari zenu wapendwa,
Jamani wapendwa naombeni ushauri nimefanya mapenzi kwenye siku ya hatari lakini jamaa alimwagia nje, sasa tarehe ya siku zangu (bleed) imefika na sijaona siku (bleed) ikabidi ninunue kipimo nimejipima imeonekana (negative)
Lakini sasa hivi nina siku kama ya nne nimeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.