Recent content by Fatmie

  1. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Am Amiiina Mkuu🙏
  2. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    ALLAAHUMA AMIIIIINA Mkuu🙏 Nashukuru sana kwa comment yenye faraja, nami naamini hivyo kua hawataniacha
  3. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana Mkuu nitafanya ivyo🙏
  4. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana Mkuu naamini wenye nazo watakuja kutupa hizo fursa na sote kwa pamoja tuweze kunyanyuana na kushikama mkono
  5. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Barikiwa saana Mkuu Barikiwa mnoo🙏 nashukuru sana kwa muongozo wako na mawazo yako ya busara na yakinifu🙏
  6. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana kwa kujali kwako Ubarikiwe sana jaman🙏 nashukuru kwa maelezo yako yakinifu yaliyonipa mwangaza halisi juu ya Visa nitapitia websites mbali mbali kuweza kupata hizo nafasi za kusoma kwaajili ya Masters iwe kama njia ya kutimiza lengo langu. Nikipata tu chance ya kwenda huko najua...
  7. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana nazipitia kuanzia sasa
  8. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Habarini Wapendwa, mpaka sasa sijafanikiwa kupata kazi Nchini mwenye kuweza kuwa sehem ya msaada kwangu naomba anisaidie hali inazidi kua mbaya Marnah nakushukuru kwa Msaada wako wa Pesa taslimu Shilingi Laki 1 ilinisaidia saana nakosa nisemeje sikujui na haunijui lakin hukutaka kuhoji chochote...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana kwa mawazo yako
  10. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Sijui ata niandike nini kuweza kuonyesha shukran zangu za dhati kwako, najaribu kutafuta maneno mazuri nakosa naona yote hayatoshelezi wema wako kwangu, Shukran sana kwa support yako uliyonipatia, MUNGU akulipe na akutimizie mahitaji yako na kwakila uliombalo akukamilishie nashukuru sana ndugu...
  11. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukran sana kwa mawazo yako
  12. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Shukrani sana kwa faraja🙏 nitafuata ushauri wako kuhusiana na Passport Ubarikiwe sana
  13. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Amiiiina🙏 Shukran sana
  14. F

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza kufanya kazi kama Personal Assistant?

    Ubarikiwe sana Kiongozi kwa kushare nasisi tayari nishafanya Application tangu jana, Shukran sana
  15. F

    JamiiForums Tanzania Dada yenu nawaomba sana ndugu zangu Msaada wenu kupata kazi Nje ya Nchi

    Ahsante sana kwa mawazo yako yaliyonishibisha Ubongo wangu Kiongozi🙏 Niko tayari kama nitampata mtu wa kunisaidia basi niandikishiane nae kwa maandishi na mashahidi na Mwanasheria wake juu ya gharama atakazozitumia, na nitakapofika huko nifanye kazi na kumlipa gharama zake zote Naamini katika...
Back
Top Bottom