Ni bahati mbaya sana kila anayetetea haki anaonekana CHADEMA, mimi ni mwanachama wa CCM nisiyependa mambo mabaya ya CCM kwa ajili ya nchi yangu.
Sasa wewe unafanyia kazi buku 7 yako ndo tatizo
Unaishi kwa kudhania. Waliopo madarakani wanajua nguvu ya uma, kuna mstari mwembamba sana kati ya ujeuri wanaoonyesha na jinsi tutakavyobembelezana.
Juzi tu hapo Ruto kdg awapigie magoti gen Z. Ila alipiga kwa Uhuru na Odinga ndo urais ukaendelea.
Waambie waliokutuma kuwa huku hatusamehe...
Hilo halikuhusu wewe, tangazo litoke mtaona.
Ingawa, bila hata Tangazo, muombeeni afya njema, akifia huko tu mmeisha mark my words. Mgombea wa CCM atabadilishwa na hilo saga. SUBIRINI
Amiri jeshi mkuu na msimamizi wa mhimili ule unaoimeza mahakama na kukosa kutenda haki, huyo wapili ndiye subject wa kesi aliyeshtakiwa nayo Dr. Slaa baada ya kusemekana kutaka kumwaga hela uchaguzi wa CHADEMA.
Hao ndo wahusika wakuu wa hiyo kesi, hata wewe unajua, majaji wanaorusha rusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.