Recent content by Farey_King

  1. Farey_King

    Mbadala au plan B ni muhimu kwenye maisha

    Malaya katika moja na mbili
  2. Farey_King

    Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

    Kwanza una mapenzi ya kijinga na ya ajabu sana,,,[emoji2959]sasa wewe siku zote ulizokua unashuhudia akiolewa na kuachwa mara zote mbili ulikua huoni wanawake wengine,,,mpaka ukawa unaombea mkewa watu aachwe huko ndio uje upeleke mironjo,,,,,bro unazingua na huna kauli kwa uyo malaya wako
  3. Farey_King

    Tabia nisizozipenda kwa mabinti wa kaskazini (hasa wachaga) wakiolewa

    Upumbavu wote huez mlaumu mwanamke,wa kulaumiwa ni wewe mwanaume kwa kujisahau
  4. Farey_King

    Nataka kumuoa msichana aliyeachana na rafiki yangu

    Wewe kwanza unaonekana ni yule jamaa mwenye kiherehere na mademu za watu,unapenda uonekane wewe ndio unafaa kuliko mwingine,,,,kwanza ulimpata huyo binti,kupitia hasira na stress zake za kuachana rafiki ako,,,,nayeye amekukubalia tu kichwani mwake kwa lengo la kumkomoa rafiki ako maana anampenda...
  5. Farey_King

    Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

    Kwanini umzalishe hafu umkimbie
  6. Farey_King

    Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

    Kwanini ampigie magoti,,,,akiri tu kosa inatosha kisha a mute,na majukumu yake asipunguze,,,,akipewa haki yake ya ndoa afanye kwa kiwango chake,na mapenzi ampe kama kawaida....hapa dunian hujaja kujiumiza aloo
  7. Farey_King

    Rafiki yangu amezaa na mke wa mtu

    We umejuaje mtoto ni mzuri,,,ni wewe ila pole mkuu pambania ulichopanda tumia akili,,,,,Akili Mungu aliyokupa inakutosha kuyakabili mazingira yote.....wala huhitaji akili toka nje man....
  8. Farey_King

    Huyu mjamaa simwelewi

    Kwanza wewe ndo hufai kwa huyo binti,unajiona kua ulistahili kwake zaidi lakini....Attitude zako ndizo zilimpoteza huyo binti.....mpaka sasa hujui ujumbe wako unauwasilisha vipi kwa jamii ka hii,,,
  9. Farey_King

    Je kuna haja ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza papo kwa hapo?

    Inafaa ili ujue mapema kama unabaki au unaamsha.
  10. Farey_King

    Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

    Kwani ndoa ni nini? Na sogea tuishi ni nini? Umeshamvulia nguo na umefanya ndoa na huyo mtu,,,,maaana umeshajiunganisha nae ki ndoa kwa ngono yenu,,,,maana yake nyinyi mna ndoa kiroho,,,,unachotaka wewe ni kuufaidisha umati wa watu kwamba umeolewa,,,,sasa kama ni kukaza ungekaza kabla huyo jamaa...
  11. Farey_King

    Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

    Msaada gani sasa...ushakua mzinzi na mkewe mtu....mbwa nyie
  12. Farey_King

    Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

    Kwani hata mama yake si ni mjinga kwa baba yake...
  13. Farey_King

    Huu ndio ukweli mchungu! Wanawake wa kijijini wana ladha ya asili

    Nenda kwenye jukwaa la siasa na kilimo huko! Acha kupangia watu mawazo ya kuwasilisha,,,unajikuta sana mkuu
Back
Top Bottom