poleni,hiki kitu mi pia nlishawah ambiwa na mtu tuu lakin sio docta ila nilikua namuulizia kuhusu kupima breast cancer akanambia ni bure matibabu ndo unagharamia ila sikupata uhakika. ngoja waje wanaojua watakujibu gal.
ahsante sana umenitia moyo kwakweli mana nlikua nawaza kufa kufa tuu ila mlipoanza kuchangia uz wangu angalau napata ahuen hata kabla ya kupima. ntaenda hosptal jumatatu then ntaona watanambia nini mana mara ya mwisho dr alinambia nikapima kipimo cha mammagraphy coz ultrasound ilikua haionesh...
nafaham na nikijipima sioni uvimbe ndani ya titi sema ni maumivu kwa ziwa la kulia na kuna kiuvimbe kidogo sana chin ya kwapa near titi ambacho kimeanza kuonekana last month ndo kinachonipa mawazo kua isije kua kansa
tatizo sijui wapi nikapime mana nimeenda hospi karibu tatu kote wananifanyia utrasound basi wananambia hakuna tatizo wakati chini ya kwapa karibu na ziwa nina kiuvimbe kidogo sn nimekigundua mwez ulopita kuanzia mwaka jana yalikua maumiv tuu ndo nkaona bora nielekee huko may b kuna vipimo zaid.
habari zenu,mwenzenu nasumbuliwa na maumivu kwenye ziwa langu la kulia yapata mwaka sasa, nimetibiwa kwenye hospital za kawaida bila mafanikio sasa nataka kwenda kupima kansa dar es salaam nami nipo mkoani nilikua nauliza anayejua hospital nzuri kwa ajili ya hivyo vipimo vya saratani ya titi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.