Recent content by fahadtingi

  1. F

    KERO Arusha: Eneo la Lemguru Kisongo A to Z maji hayajatoka kwa miezi miwili

    Kumekuwa na tatizo la maji katika eneo la Lemguru Kisongo A to Z, maji hayajatoka miezi miwili sasa na bili za maji zinakuja zikiwa juu bila maelezo Tatizo limeripotiwa kwa Mkurugenzi idara ya maji Arusha, anawajibu wananchi hana taarifa za tatizo la maji katika eneo hilo, na kuwa mkali kwa...
Back
Top Bottom