Recent content by FadaKlontida

  1. F

    JamiiForums Tanzania Hatujapata fedha za kujikimu walimu wapya Babati Vijijini

    Ajira mpya Walimu wilaya ya Babati vijijini hatujalipwa hela za kujikimu tangia tuingie kazini tuna miezi mitano mpaka Leo na hutujui hatima yetu. Tumihoji wanasema HELA haijafika lakini Afya wamepewa.
Back
Top Bottom