Ni Dm kama upo serious tu tafadhali. Lengo ni mahusiano yatayopelekea ndoa, kwa hiyo nahitaji mtu aliye na uhitaji
Mm ni jinsia ME,
Umri wangu miaka 30, mrefu sio sana mwembamba. Elimu yangu ni Shahada. Ni mjasiliamali tu sina ajira ya taaluma.
Ni mkazi wa Mwanza
Mwenza ninaemhitaji
Awe na...