Recent content by Ezekiel Njalla

  1. Ezekiel Njalla

    KERO Wilaya ya Nyang'hwale mkoa wa Geita hela za likizo za walimu mbona kimya?

    Hata Halmashauri ya Wilaya ya Magu tunafanyiwa hayohayo; CWT (W) Magu tusaidieni.
  2. Ezekiel Njalla

    KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

    Two wrongs does not make it right. Hata kama ilishatokea waalimu kutokulipwa fedha zao za nauli ya likizo kwa wakati, hiyo siyo haki; ni ukandamizaji na unyanyasaji ambao ofisi yetu ya Elimu Magu DC imekuwa ni kawaida yao kwa kisingizio kwamba FEDHA HAZIJASHUKA; wizi mtupu!! Wahusika warudishe...
  3. Ezekiel Njalla

    KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

    Ni haki yangu ya kiutumishi; siyo hisani.
  4. Ezekiel Njalla

    KERO Fedha za nauli ya likizo kwa waalimu inalipwa lini Magu DC?

    Shule za serikali zimefungwa tangu mwishoni wa wiki iliyopita tarehe 31/5/2024. Waalimu tulijaza Ankara za fedha za nauli ya likizo hii mapema sana na kuziwasilisha kwa wahusika ofisi Halmashauri ya Wilaya ya Magu kabla shule hazijafungwa; tukitarajia kwamba malipo yangefanyika mapema au mara...
Back
Top Bottom