Recent content by Ezekiel Maligisa

  1. Ezekiel Maligisa

    Je, umewahi kujiuliza hili swali; Kwanini viongozi wa kisiasa Tanzania wanavunja sheria, wanakwapua mali za umma na bado hawachukuliwi hatua?

    Separation of Power. Sababu zote Sita umeeleza kwa Ufasaha, ila kwenye suluhisho. Mimi nahisi mifumo ya Sheria za Nchi.
  2. Ezekiel Maligisa

    Ubi societas ibi jus (penye watu kuna sheria ili kulinda maslahi na haki za kila mmoja)

    UBI SOCIETAS IBI JUS Katika jamii kuna makundi ya watu mbalimbali na kila mtu ni tofauti na mtu mwingine, upekee alionao kila mtu hutofautiana na mwingine hata katika, familia au jamii moja. Mfano; Familia inaundwa na Wazazi na Mtoto, baadaye familia hiyo itakuwa na Watoto hata wajukuu. Kati ya...
  3. Ezekiel Maligisa

    Watawala wasingekosea kama wangekuwa wanafunzi makini wa Historia!

    Historia ni ya kweli. Kuhusu sababu za Mapinduzi yaliyotokea Ulaya na Asia miaka ya 1600-1800 sehemu kama Wingereza, Ufaransa, Austria, Urusi na sehemu nyingine. Kama Viongozi basi wangepitishwa kwenye sababu, na matokeo ya matukio hayo, basi hii ingesaidia katika kuwa na uongozi bora...
Back
Top Bottom