Recent content by Ezekia Erasto

  1. E

    Msaada tatizo la masikio

    Nisaidie namba zako
  2. E

    Msaada tatizo la masikio

    Ahsante, upo wapi
  3. E

    Msaada tatizo la masikio

    Ahsante, unapatikana wapi
  4. E

    Natafuta kazi ya kufundisha majumbani

    Habari mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu UDSM natafuta kazi ya kufundisha majumbani (tuition), kuanzia shule ya msingi mpaka kidato cha sita masomo ni English, kiswahili na History kwa mawasiliano zaidi 0785935414, ahsante.
  5. E

    Msaada tatizo la masikio

    Habari wana Jf, miaka miwili iliyopita nilianza kujigundua kuwa na shida ya usikivu nilipoenda hospitali nikaambiwa shida yangu ilisababishwa na earphones hivyo usikivu wangu umeshuka na hakuna tiba mbadala. Shida niliyoipata tokea nipime usikivu zile sauti za vipimo huwa zinajirudia masikioni...
Back
Top Bottom