Recent content by Ezeboymona

  1. E

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu Majipu husababishwa na nini?

    Jamani naombeni mnisaidie. Nina tatizo la vijipu vidogo kwapani vinaota. Kalianza kamoja sasa hivi vimekuwa vitatu. Tatizo ni nini au husababishwa na nini?
  2. E

    JamiiForums Tanzania msaada

    habari zenu, bila shaka m kopoa ila baada ya utambulisho ninaomba mnisaidie ni njia gani nitumie ili niweze kutuma maombi ya kazi kwa njia ya email/mtandao maana sijui hata kidogo naomba msaada lakini
Back
Top Bottom