Jamani naombeni mnisaidie.
Nina tatizo la vijipu vidogo kwapani vinaota. Kalianza kamoja sasa hivi vimekuwa vitatu. Tatizo ni nini au husababishwa na nini?
habari zenu, bila shaka m
kopoa ila baada ya utambulisho ninaomba mnisaidie ni njia gani nitumie ili niweze kutuma maombi ya kazi kwa njia ya email/mtandao maana sijui hata kidogo naomba msaada lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.