Kipindi Cha uchaguzi wa mwaka 2020 zilitolewa ahadi kede kede ikiwemo ujenzi wa "flyovers" Kwa junctions kama magomeni, Morocco, na mwenge.
Hizi zingesaidia sana kupunguza foleni katika Jiji la Dar es salaam.
Hadi sasa tunaelekea kwenye uchaguzi mwingine na ubao bado unasoma "bila bila"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.