Habari wanajukwaa wenzangu.Ni matumaini yangu kila mmoja yu buheri wa Afya.
Mimi ni kijana niliyemaliza kidato Cha nne miaka kadhaa iliyopita lakini isivyobahati sikufaulu yaani nilifeli kidato Cha nne. Baada ya matokeo nilikuwa na huzuni sana kwani nilikuwa napenda sana kusoma na darasani...
MSAADA : Habari wana jamvi la biashara; Nina rafiki yangu yupo japani anauza magari kwenye kampuni moja hivi, sasa ameniambia nitafute wateja atanilipa kwa commision, uwezo wa kutafuta wateja ninao coz nimefanya masoko kwenye makampuni mbalimbali lakini sijawahi kufanya biashara ya magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.