Recent content by exp

  1. exp

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni responds to Obama on anti-gay bill

    hakuna alieweka mkazo,imewekwa sheria kama kulivyo na sheria ya kuzuia ubadhilifu wa mali ya umma iyo mkazo umeona ww infact sheria ilitakiwa iwepo bfor hand,they ar late
  2. exp

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni responds to Obama on anti-gay bill

    naona unahama kwenye mada mkuu..... pia kuna tofauti kat ya kuwepo kwa sheria na kupatikana na hatia!! ufisadi upo tanzania hakuna anaekataa ila kuwepo kwa ufisadi haimaanishi hakuna sheria ya kupinga ufisadi.....sheria ipo lakini wanaohusika wana namna ya kuua ushahidi hivyo sheria inashindwa...
  3. exp

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni responds to Obama on anti-gay bill

    kuna kitu kimoja watu kama ww hamuelewi...leo hii obama akisema ufisadi ni halali.utakaa ndani usionyeshe msimamo wako jus bcoz kuna makosa mengine kama uongo...wizi...uzinzi havijaongelewa kwenye sheria?? response ya africans in relation to homosexuality imetokana na western pressure kuimpose...
  4. exp

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni responds to Obama on anti-gay bill

    i hav one belief dat will neva change" africans who supports homosexuality have mental problem" unahitaji msaada rafiki
  5. exp

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni responds to Obama on anti-gay bill

    wea do YOU stand!!God help u kama ur among supporters
Back
Top Bottom