Recent content by Exited

  1. E

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya magodoro

    Ahsante kwa ushauri, but nataka niuze na mashuka, mataulo na mito ya kulalia pia. Na vilinda magodoro pia.
  2. E

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya magodoro

    Naomba kama hutojali please nicheki 0758191544
  3. E

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya magodoro

    Nataka kuwa wakala wa kuuza magodoro ya TANFOAM ARUSHA, naweza kupata mawazo jengefu zaidi kuihusu hii biashara. Nataka niuze mattress, mataulo, mashuka nk. Mbeleni niongezee vitanda pia. Hii biashara changamoto zake ni zipi na faida yake imekaaje kwa wenye ujuzi nayo tafadhali. Ahsanteni.
Back
Top Bottom