Mkuu ulitegemea nini kwa mtu anaekutusi?
Umeona alichosema yeye? tatizo hutu tu mbulumundu twa siku hizi tunajiona twenyewe tujanja sana kwa kutoa lugha chafu wakati mada yangu sijamtusi mtu ila nakemea. Mimi nimemjibu kama alivyoniuliza
Mama yako ni mke wangu wa tatu, sasa sijui kwa nini humheshimu mama yako, Au hujui nani anaesababisha uende choo kila siku hapo nyumbani?
Unasubiri mpaka siku unione natoka na taulo chumbani kwa mama yako ndio uniheshimu au?
Ndugu zanguni
Kila kukicha nikichungulia habari humu kifua kinanijaa sana kwa hasira natamani kupasuka
Nimegundua kuwa kutokana na maisha kuwa mazuri bongo na kusababisha ongezeko kubwa la midle class , basi kila mtu kawa dereva, yaani udereva siku hizi ni sawa na kuendesha baiskeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.