Ilikuwa majira ya saa 3 usiku nipo zangu nyumbani naangalia movie,
Ghafla simu yangu inaita, kucheki hivi, namba ni ngeni,
Nikapokea, Upande wa pili inasikika sauti ya mdada ikiongea,
“ Hallo, Naongea na Evance??” , Nikajibu ndio, Karibu nikusaidie….
Akaniambia “ Samahani naitwa Grace...