Kufa ni sehemu ya uhai. Uhai umeumbwa uishi, bali hapa duniani uhai una mwisho kwa sababu maumbile ya mwili ni yana mwisho bali maumbile ya roho hayana mwisho wa hapa duniani ila roho inaweza kuishi millele.
Pia mwenyezi Mungu anaweza kuingilia Katie akakukinga na kifo na mauti kwa muda fulani, lakini baadae kanuni ya kifo na mauti aliyoitengeza itaendelea tu kufanya kazi.
Binadamu mwili wake unaundwa na vitu ambavyo ni genetic material zenye uwezo wa kuoza na kuharibika kuelekea kifo na mauti. Hivyo ni asili ya mwili kuoza na kuharibika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.