Recent content by ESTOMIHI NNKO

  1. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Asante sana Mdau ni imani yangu kuwa litaungwa mkono na wadau wengine ili tufanye maboresho.
  2. E

    SoC04 Kuboreshwa mfumo wa luku za umeme (mfumo kiganjani)

    Wazo hili ni bunifu na litatatua changamoto kama vile Umeme kukatika gafla,wakati using tarajiwa na kuzua taaruki. -Control number itasaidia mteja kulipa umeme haraka na popote alipo. - Hii itapunguza usumbufu. Mawazo kama haya yachukuliwe ili tuboreshe huduma za TANESCO kwa wananchi.
  3. E

    SoC04 HeWasha: Mfumo mpya wa kuwasha Umeme 'Automatic' baada ya kununua units bila kujaza token kwenye Mita

    Andiko lako ni nzuri, Nisha wahi kulala giza usiku kwasababu ya kukosa betri za mita ndogo ili niweke token za umeme
  4. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Ni muhimu sana kuboresha bima ya afya kwa kuanz na rasilimali ndogo tulizonazo piah kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia.
  5. E

    SoC04 Mpango wa miaka 25 wa kubadilisha Tanzania kutoka nchi maskini zaidi hadi nchi iliyoendelea kwa kuchukua mifano kutoka Korea Kusini

    Naunga mkono wazo hili Tanzania inaweza kuendelea Kam ikiwekeza kwenye elimu na kutumia maarifa hayo knowledge manipulation and utilization
  6. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Asante sana prof Aeron Jackson, kama utakuwa na swali au kuongeza kitu tunaweza kujadili zaidi, Tanzania ni yetu na mabadiliko ni sisi 🙏🙏
  7. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Ni nia yangu kuona mfumo wa bima unaboreshwa ili uwe na ufanisi zaidi hasa tukizingatia Maendeleo ya kidijitali 🙏
  8. E

    SoC04 Tanzania Tuitakayo: Napendekeza Maboresho yafanyike Katika Bima ya Afya Kupitia Wazo Hili. "Self Mobile Health Insurance Service SMHIS "

    Utangulizi. SELF MOBILE HEALTH INSURANCE SERVICE (SMHIS). Ni mfumo wa kidijitali utakao mwezesha Mwanachama hai wa bima ya Afya kuomba kupata huduma ya matibabu kwa kutumia simu yake mwenyewe pamoja na Huduma ya kiafya kwa kutumia bima kupitia mtandao yaani (Digital health insurance service)...
Back
Top Bottom