Tena wanawake tunanata sana saivi hasa tukijijua wife material[emoji23]hatutaki kuolewa mladi tuu afu ukawe haouse girl kwenye nyumba yako mwenyewe. Mwanamke ni pambo la nyumba.
Wapuuzi sana wanaume, wanaoa wanawake pasua kichwa afu humu wanajimwambafy tena miaka hii mbaka mtoto wa primary analiwa, sijui mtakimbilia wapi[emoji23][emoji23]na sisi tuu ndio tuko hahaa na ndoani tutaendelea kuwanyoosha na huo mfumo dume wenu mbaka muitike ABEE!!!.
Nina 29 mwakani 30 na sina pressure, na bado nanata ukipishana namm utajiuliza huyu ninani kwani[emoji23]Sipo kinyonge eti nisalimie ovyo kutafuta wanaumee. Looh!!!
Ndio maana wanasema ndoa ni uvumilivu wanadanganyana sana, siku hizi ndoa ni paradiso hakuna mateso tena, ukiolewa sio mfanya kazi ni pambo la nyumba kazi mnasaidiana.
Mambo ya kwenda job wote mnarudi usiku afu mwenzio anakaa seblen anasubir upike umtengee akila utoe na vyombo uoshe na uandae...
Uko sahihi kabisaaa mimi nina miaka 29 saivi na wala sina pressure ya ndoa wala mtoto, walionizunguka wanaongea sana ila huwa nawaambia tumetofautiana ww kama kipaumbele chako mtoto zaa kama ndoa subiri uolewe.
Ila mimi nilishasemaga na moyo wangu kwamba ndoa au mtoto ni option na mindset za...
Mama kakosea sana..ila mwanaume alikosea zaidi kama alioa uyo mama akiwa na pesa zake,,
Wanawake wengi wanaamini heshima ya mwanaume ni kwa sababu ndio huwa wanalea familia yaan pesa anayoacha kila siku mwanaume na kulipa bils ndio inampa heshima ndani ya nyumba
Sasa habari ya kuoa mwamamke...
Nilikua nasoma comments tuu, wasichokijua wanaume wadada wengi wanaonuka nikwasababu ya umalaya tuu...wachache wanakua na maambukiz ya kawaida, yaan ukishachanganya majasho ya wanaume lazma unuke tuu mbegu zina shombo sana ku..ma,[emoji44]ni
Hao mnaowalalamikia wengi ni maslay tuu ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.