Recent content by Esq NeyB

  1. E

    SoC02 Vijana na tatizo la ajira

    NAOGOPA Kijana Elli akiamshwa na king’ora cha simu alichotega kabla ya kujilaza kitandani kwake huko Kimara Dar es Salaam, anakoishi kwa wazazi wake. Ni kijana mwenye umri wa miaka 25. Anaamka na kujiandaa Kwenda kutafuta kitu chochote ili kuburudisha tumbo lake. Anarudi chumbani kwake na...
  2. E

    SoC02 Nidhamu ya Fedha

    Nikweli
  3. E

    SoC02 Nidhamu ya Fedha

    Asante
  4. E

    SoC02 Nidhamu ya Fedha

    Asante sana
  5. E

    SoC02 Nidhamu ya Fedha

    HADITHI YA TEKE TEKE. Bwana Athumani. Kila ifikapo jioni, yeye na jiko lake, anawasha moto, kiupepo cha jioni kikikoleza mkaa huku cheche zikiruka huku na kule. La haula, moto umekolea vyema huku fuko la mahindi likimtazama. Anachukua hindi moja baada ya jingine na kutoa maganda, nywele za...
Back
Top Bottom