NIliposema service kwenye hotel nalimaanisha kuhudumia wageni vinywaji vya pombe na visivyo vya pombe na maranyingi mhudumu huyu hukaa mazingira ya baa japo naye huweza kuchukua oda ya chakula umenielewa au bado
kaka tayal nimepeleka hotel kubwa za mwanza mfano gold crest. isamilo lodge,lakairo ,mwanza hotel .na nyingnezo kama 5nina mwezi nasubir majibu lakin hata simu wap kupgiwa
Naitwa Ely nimehitimu chuo na kufanya field Impala Hotel.
Nahitaji ajira kitengo cha restaurant ama service na nipo jijini Mwanza hata kwa anaefahamu mahali wanapohitaji wafanyakazi wa jiko la India aniambie.
No zangu ni 0765997567
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.