Gari inauzwa bei TSH.21,000,000/-TU ipo kwenye hali nzuri sana ilikua inasafirishiwa mikate tu ,mwenyewe kapatwa na shida ya ghafla anauguliwa ,ukihitaji kuiona ipo maeneo ya kigamboni maelezo zaidi mawasiliano,0768496151/0777496161.
Jiko la deki 3 ,trey 9 linauzwa, kwa wenye nia ya kufungua bakery ama baking zozote ni jiko zuri sana ni jipya halijawahi kutumiwa, bei mil 5 ,tuwasiliane no.0777482509.karibuni ulimwengu wa wajasiriamali.
kila ifikapo saa mbili nna kawaida ya kusogea karibu na luninga yangu kwa ajili ya kuangalia taarifa ya habari,inanivutia sana hasa jinsi wanavochambua,ila tangia majuzi nakutana na msg tuangalie habari kwenye azam app,asubuhi pia tuangalie morning trumpet azam app ,sio wote wenye smart phone na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.