Hellow,
Mimi ni mdada 26 yrs, elimu yangu ni degree na nimeajiriwa, nahitaji mwanaume ambaye naweza kuanzisha mahusiano na tukafika somewhere, awe na umri 29-34, awe anajielewa, mkristo, elimu yake iwe kuanzia degree na kuendelea, amejiajiri au ameajiriwa, awe anaishi Dar,
Zaidi nicheki pm...