Alhamdulilah me nimepona alafu bahati mungu fundi hata alonisaidia kashamchukua kwaiyo haiwezi ikawa tangazo ila kweli kabisa yapo maradhi ya ajabu mnoo.
Salaam wanabodi,
Wakuu hii dunia ina maajabu sana hakika kuna kipindi unaweza ukadhani kama mtu anadanganya lakini yamemkuta makubwa ipo Hivi mwaka 2016 mwishoni nilipata ugonjwa wa ajabu sana mwanzoni nilikua napata kiu ya ajabu sana maana kinywa kinakua kikavu hakina hata mate yaani inakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.