Recent content by Ernest 1234

  1. E

    Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

    Upo sahihi kabisa kaka. Halotel walikuwa na kifurushi Cha unlimited ila sasa kimepoteza sifa ya kuitwa unlimited.. Watu wengi tunalia sasa 😭
  2. E

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Mimi pia natumia, Mwanzo ilikuwa vzr sana ila kwasasa inanisumbua sana upande wa so speed,Leo siku ya nne.
  3. E

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Kaka tunaomba mrejesho kutoka kwako.... Mimi ninatumia unlimited ya halotel mwezi wa 4 . Ila kwasasa imeshuka sana speed siwezi kufanya kitu kbs... Leo siku ya nne. Nimewaambia niliponunua wananiambia halotel wanafanya maintainance hvy tuvumilie sipo peke yangu.😭😭😭
Back
Top Bottom