nunua kiwanja kwa mwenyeji kabla hujalipia ita majiran zako wote mnaopaka nao muhakiki mipaka ni sawa? na wasaini hati ya mikaka. ishu kumbwa ni hapo kwa mipaka mimi ndo nilikumbana nayo
Nipo kijijini nimeenda kwa Mwenyekiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuwa natakiwa kutoa shilingi elfu moja ya mchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi?
Mwenye ujuzi anijuze.
Kulink kwa App haimaanishi kwamba ndo paypal wataruhusu upokee hela Tz. Shida nibkwamba hata ukilink huwezi pokea dola kwa paypal ya Tz kwasababu paypal hawajaruhusu ilo swala Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.