Hayo yote nimewaza sana lakini kuna siku boda alikuja ofisini alileta bomba la maji lililobaki baada ya idara kuniwekea maji nahisi walidili nae uyo boda japo sina halika maana alikuja ofisini nikiwa sipo
sijui asee afu ela enyewe yakujenga nimekusanya miaka minne ndo nikapata yakufikia ad kupaua .. kiwanja chenyewe nilipata kwa mgao wa mirathi ya mzee apumzike kwa aman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.