Recent content by EricMan

  1. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    naomba connection mkuu
  2. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    nikimbie familia au
  3. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    nipo Arusha mjini mkuu
  4. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    naomba nishauri hiyo mipango kichwani kaka atleast napata ahueni nikisoma comments
  5. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    kwahichi nnachokisema au kipi kaka
  6. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    ni mwalimu hajaajiriwa mkuu sizan kama nilikosea jwakua nilitaraji ataajiriw
  7. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    eneo lipo Arusha lipo 1km kutoka lami ya East Africa kwakifupi lipo sehemu nzuri sana
  8. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    nimemwambia mke wang ni mwalimu degree sema tu hana ajira bado siku akipata nitakua nishatimiza ilo waze lake analosema nimefanya ujinga
  9. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    Hayo yote nimewaza sana lakini kuna siku boda alikuja ofisini alileta bomba la maji lililobaki baada ya idara kuniwekea maji nahisi walidili nae uyo boda japo sina halika maana alikuja ofisini nikiwa sipo
  10. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    mkuu mke ni mwalimu siku akiajiriwa nitakua tayar nimefikia hili wazo lako
  11. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    Naombe mnisaidie hata mke akafundishe akilipwa chochote ntashukuru ni mwalimu
  12. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    hapana mkuu nilificha sana lakn nashangaa sijui walijuaje nahisi labda walinifatilia siku naenda site
  13. EricMan

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nilipokuwa nafanyia kazi wamenifanyia fitna nikafukuzwa

    sijui asee afu ela enyewe yakujenga nimekusanya miaka minne ndo nikapata yakufikia ad kupaua .. kiwanja chenyewe nilipata kwa mgao wa mirathi ya mzee apumzike kwa aman
Back
Top Bottom