Inaonekana hata ukimwona mke wa jamaa yako na bwana mwingine unaanza kukurupuka ukamfumanie Ww mwnyw badala ya huyo jamaa yako ndio akafumanie,, utakuja kupigwa cku’ aya uzi sio wangu sawa, je ww wako? Ndo mfano niliotoa hapo juu wa kufany kitu sio kaz yako hukupaswa kunijibu wewe’
Kwaiyo umeona neno uzezeta kulitumia ni sawa na utimamu wako???[emoji2955],, kwani ungesema kwa lugha ya kuelewesha nzur ungejisikiaje wewe!! Tumia akili! Inamaana hata kam mfano mtoto wako au ndugu yako , jiran yako, amekukosea unaanza kumtukana kumdhalilisha kwanza[emoji3166]
Earphones wireless hizi hapa dukani ingia hapa whatsapp [emoji1485] KINGS STORE & SERVICES kwa 25,000/= tu pia Tunafanya delivery kwa Dar Es salaam 0627468298
A
AirPods Pro Bluetooth earbuds, hazichagui simu, touch sensor, Tunafanya delivery kwa Dar Es salaam tu, tupo hapa [emoji1485] Whatsapp KINGS STORE & SERVICES 0627468298
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.