Habarini wana JF,
Mimi nina wazo hapa kuhusiana na biashara ya Kitimoto. Labda nifafanue vizuri kuhusiana na hii biashara yani ni nanunua nyama ya ngurue kwa wachinzaji halafu ninakuwa na kibanda kwa ajili ya kuipika au roasting kwa ajili ya watumiaji.
Location ya Biashara naifanyia Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.