Recent content by erick msafiri

  1. erick msafiri

    Natafuta kazi au ajira

    official naweza fanya kuendana na elimu yangu,mm ni development expert nimehitimu SUA 2023 Bachelor in rural development...lakini kwenye kibarua namaanisha naweza fanya shughuli yoyt inayohusisha uelewa wa kawaida wa binadamu kama waiter,usafi na shughul nynginezo
  2. erick msafiri

    Natafuta kazi au ajira

    mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,mkazi wa dar es salaam.Nina uhitaji wa kazi yoyote ambayo inaweza kuniingizia kipato.Kazi iwe official au kibarua naweza kukidhi vigezo vyake sababu nina vyeti mbalimbali ikiwemo cha A level na chuo endapo vitahitajika.mawasiliano 0696970622
Back
Top Bottom