Recent content by Erengo

  1. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Uwezo wa kumuwekea mtego upo, shida inakuja nikigundua anatoka nje naweza handle, siku yangu haiko poa kabisa leo
  2. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Naambiwa anakuwa amechoka akitoka mazoezini hivyo anakosa nguvu ya kuwa online kwa ajili ya video call
  3. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Nimeagwa ameenda kwenye mechi, naomba kufahamu hizo mechi zinachezwa muda wote ama kuna muda maalamu. Naona tabia ya kuzima data imeanza tangu aje huko dodoma, hawa wake zetu kuna muda wanatia hasira sana.
  4. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Kuna wanaume wana shida vichwani mwao, sitegemei mtu mwenye familia akaandika huo uchafu hapo juu.
  5. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Inasikitisha sana, najua watakuwa wanaongozana wawili wawili..
  6. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Ni kwamba hakuna mwana JF yoyote alioenda shiriki hayo mashindano kweli?
  7. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    shida sio safari, huwa anasafari sana na mawasiliano huwa yapo, ila kwa hii ya dodoma amekuwa tofouti kabisa. Amenisikitisha kwa hili.
  8. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Huo mji ndio maana mvua hainyeeshi, zinaa imetawala mno, na mpango wa kufika kufahamu kinachoendelea huko
  9. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Mashindano mengine ni vyema yakafutwa yakabaki katika ngazi ya vyuo na sekondari.
  10. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Hapana nipo busy na biashara, ila kwa hili nimekereka sana. Maana haingilii akilini kushindwa kupokea simu
  11. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Umekatika kuanzia muda gani? Muda mwingine serikali iangalie kuhamaisha mashindano kama haya. Naona kwa upande wa shilingi inaweza changia uvunjifu wa ndoa ama kulea watoto wa mwanamme mwingine.
  12. Erengo

    Kwa mlio Dodoma kwenye hayo mashindano ya Shummita yanayoendelea huko wake zetu wako salama kweli

    Habarini ndugu wana JF Kwa mlioko huko dodoma hawa wake zetu wa ndoa watarudi salama kweli? Maana shemeji yenu najitahidi kumtafuta kupitia video call naona hataki kupokea simu anadai ya kwamba umeme umekatika kuna giza hivyo hawezi kupokea simu. Kwa mliopo huko, ni kweli changamoto ya umeme...
Back
Top Bottom