Recent content by Entare

  1. E

    GE2010 Mshaurini Slaa Agombee Uspika

    Kwanza tukubaliane kuwa CHADEMA ndo kimeshinda na sio Dr Slaa.Alafu tuukubali ukweli kwamba wakati huu unafiki wa baadhi ya wachumia tumbo hauna nafasi na safari ya kuelekea katika Tanzania tunayoitaka imeshaanza. CHADEMA ni washindi,wameshinda kwenye miji mikuu yote ya nchi hii,maana yake...
Back
Top Bottom