Asante sana Asigwa, mfumo huu ni wa kuchemsha maji mpaka centrigrade 80, na zinapatikana katika ujazo tofauti, kuna za kuanzia tanki la lita 100, 150 na 200.
bei zake nazo zinatofautiana kutokana na huo ujazo, mfano Tanki la lita 100 ni shilingi 785,000/, lita 150 ni shilingi 995,000/ na za lita...