Recent content by Enol

  1. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Changamoto tu ni katika hali ya kutokuwa na mbadala
  2. E

    Nimefanikiwa kupambana na kunguni na kuwapunguza kwa kiasi kikubwa sana

    Maribabu ya fangasi nimeyafanya lakini pia bado sijaona nafuu. Kuhusu kurudia boxer siwezi ila inaweza tokea mnasafiri mkalala njian na kesho safar inaendelea. Issue ni kuwa sio voxer tu hata suruali haivaliki siku mbili.
  3. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Thanks.ni vile tu moyo wa ubinadamu kuna mda uvumilivu unakata. Yes mpaka leo nipo kwa sababu pia sijakata tamaa nasema ipo siku Mungu ataniona.Maana nilishawazaga mno namna yakuondoka hapa ulimwenguni lakini sikuweza tekeleza hata mara moja.
  4. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Asante sana dada Yangu.Najipa moyo badoila kiukweli ndani ya kichwa changu ni kama nimechanganyikiwa.Sijapoteza imani naamini ipo siku pengine dhahama hii itaniacha nipumnzike
  5. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Sawa kiongozi.Ila shida hii ilinikutawakati pengine sijui lolote kwa maana nilikuwa innocent. Kwa sasa kiukweli chochote ambacho kinaweza nipa kupona nitajaribu.naishi kati ya uhai na kifo sina cha kupoteza.Nimepitia mengi mno nakubaliana na lolote
  6. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Sawa ndugu.Mtazamo wako pia napokea
  7. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Asante sana kiongozi.Natambua sana mchango wako juu ya hali yangu hii toka nilete mada hii siku ya kwanza. Mungu akubariki sana. Nitashukuru nikipata hata contact zake dm au hata jina lake ili nijue pakuanzia nikifika.
  8. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Inakuwepo ndugu isipokuwa sio rahisi kuisikia. Ila inachachamaa nikishakaa kwenye joto ndio balaa. Nikienda chooni labda nikatumia maji kujiswafi mida ya mchana hali huwa mbaya kuzidi maelezo.Yaani haitaki changamana na maji kabisa hasa midaya mchana labda uoge jumla
  9. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Ni changamoto yaani mimi pia naamini zitakuwa ni nguvu za giza.Lakini hata waganga hawakuweza saidia
  10. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Sijawahi kuambiwa.Kutokana na hali hii mambo ya mahusiano nimekaa nayo mbali. Lakini mara kadhaa nimegundua wakiniteta wale watu ambao tunakaa pamoja eneo ambalo siola wazi. Ukiachilia mbali mimi kuisikia lakini unakuta labda tukiwa karibu hasa sehemu ambayo sio ya wazi mtu anaanza vuta pua kama...
  11. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Yaani kama ni kuniroga labda iwe sababu nyingine yaani nilikuwa ndio form one hata mashine haisimami vema. Labda kama mtu aliniroga kwa issie za academics mkuu maana ndio eneo nilikuwa vizuri
  12. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Asante ndugu.Yes naombewa daily na mimi najiombea.Upande flani sijakata tamaa mara nyingine moyo unasema labda nitapona sasa.Kwa hyo bado naombewa lakini mambo ni magumu sana kadri muda usongavyo
  13. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Nashukuru mkuu nitajaribu
  14. E

    Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

    Kuna mmoja aliniizama akasema haoni shida.Sema natamani labda wangefanya culture tuone. Nikiwa nimetulia yaani ngozi ya huku inakuwa ya moto sana kiasi kwamba uligusa suruali eneo husika linakuwana joto kupita kiasi Hapon jasho na harufu
Back
Top Bottom