Recent content by Enkorongo

  1. Enkorongo

    Pole Paul Makonda, Uongozi ni kupokezana Kijiti. Unafanya ubaya unaukuta mbele unakusubiri

    Naamini siku akiondolewa walinzi ndiyo siku atapanda basi kwenda koromije maana dar hii ataiona shubiri
  2. Enkorongo

    Pole Paul Makonda, Uongozi ni kupokezana Kijiti. Unafanya ubaya unaukuta mbele unakusubiri

    Huyo amemkatiza matumaini kibao kasesela maana alikuwa ana matumaini ya kuukwaa ukuu sasa nadhani itabidi atumie nguvu za giza
  3. Enkorongo

    Pole Paul Makonda, Uongozi ni kupokezana Kijiti. Unafanya ubaya unaukuta mbele unakusubiri

    Walijitahidi kumbeba tena kwa mbeleko ya magome ya miti lkn akajisahau
  4. Enkorongo

    Pole Paul Makonda, Uongozi ni kupokezana Kijiti. Unafanya ubaya unaukuta mbele unakusubiri

    Ujumbe umemfikia na amekuelewa ingawa ni sawa na kumpigia mbuzi taarabu ukidhani atacheza maana huyo mtu alisha lewa madaraka na kusahau kuwa hiyo ofisi ni mali ya umma na ni sawa na kiti ndani ya daladala unakikalia ukipanda na unakiachia ukishuka na wengine wanakalia
  5. Enkorongo

    Jerry Silaa: Muda ukifika Waitara chukua fomu nitapita nyumba kwa nyumba kukuombea kura

    Wewe nawe hukati tamaa watu walisha kutupa kwenye dust bin
  6. Enkorongo

    Kuondoka kwa Waitara: CHADEMA imepoteza sana

    Wananchi wakichoka hakuna wa kuwazuia ndugu yangu wacha kujidanganya na hicho ndiyo kilitokea Zimbabwe
  7. Enkorongo

    Kuondoka kwa Waitara: CHADEMA imepoteza sana

    Wewe inawezekana hata hiyo Zimbabwe unaisoma kwenye uhuru na mzalendo na kuitazama kupitia tbc mimi zimbabwe ni sawa na njia ya msalani naijua vizuri sana
  8. Enkorongo

    Kuondoka kwa Waitara: CHADEMA imepoteza sana

    Tumia akili ndugu wacha kuwa zumbukuku
  9. Enkorongo

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala, awaasa wakatende haki na kutatua migogoro

    Lazima awajibishwe ili aone uchungu alio wasababishia kina Manji
  10. Enkorongo

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala, awaasa wakatende haki na kutatua migogoro

    Nikweli kabisa kama alishindwa kupata hata alama D kwenye somo la siasa kipindi kile ujue kumukichwa ni 00
  11. Enkorongo

    Ikulu: Rais Magufuli awaapisha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala, awaasa wakatende haki na kutatua migogoro

    Alijisahau akawa anazalisha maadui kuliko marafiki kisa mbeleko ya chuma cha mjomba wake
Back
Top Bottom